Karibu Huduma ya Soma Neno la Mungu

Katika huduma hii, Watumishi wa Mungu Mwl. Bwana na Bibi Steven na Beth Mwakatwila tunafanya bidii kusoma na kukuonya na kukufundisha juu ya Mungu Yesu Kristo ili upate kuponywa na kuurithi ufalme wa Mbinguni.

Ungana nasi katika masomo, vipindi vya redio, makala, na matamasha mbalimbali yanayofanyika kote Tanzania. Fuatilia ratiba ya matamasha na semina ili kujua lini unaweza kuhudhuria upate Neno la Mungu.

Ungana Nasi Leo

Tembelea tovuti yetu kamili kwa habari zaidi kuhusu huduma zetu, masomo ya Biblia, ratiba ya semina mbalimbali, na jinsi ya kuwa sehemu ya familia yetu ya kiroho.

Tembelea Tovuti Kamili