Wokovu
Jifunze kuhusu wokovu na jinsi ya kumwamini Yesu Kristo. Mungu anataka kusikia sauti yako na kukusaidia katika safari yako ya kiroho. Kwa nini Wokovu ni muhimu katika maisha yako?
Na Mwl Bw & Bibi Steven na Beth Mwakatwila
"Hata nitakapokuja ufanye bidii katika kusoma na kuonya na kufundisha"1 Timotheo 4:13
Katika huduma hii, Watumishi wa Mungu Mwl. Bwana na Bibi Steven na Beth Mwakatwila tunafanya bidii kusoma na kukuonya na kukufundisha juu ya Mungu Yesu Kristo ili upate kuponywa na kuurithi ufalme wa Mbinguni.
Ungana nasi katika masomo, vipindi vya redio, makala, na matamasha mbalimbali yanayofanyika kote Tanzania. Fuatilia ratiba ya matamasha na semina ili kujua lini unaweza kuhudhuria upate Neno la Mungu.
Jifunze kuhusu wokovu na jinsi ya kumwamini Yesu Kristo. Mungu anataka kusikia sauti yako na kukusaidia katika safari yako ya kiroho. Kwa nini Wokovu ni muhimu katika maisha yako?
Pata masomo ya kina ya Biblia yanayofundishwa na Watumishi wa Mungu. Soma, jifunze na kuongezeka katika maarifa ya Neno la Mungu kwa kujifunza Maandiko Matakatifu.
Kila mwezi tunakuletea salamu maalumu yenye mada muhimu za kiroho ambazo zitakusaidia kukua katika imani yako. Fuatilia salamu hizi kwa mafundisho na mwongozo wa kiroho.
Hii ni familia inayokua kila siku ya Huduma ya Soma Neno la Mungu, karibu uwe mmoja wetu! Jiunge leo. Ni furaha iliyoje kujua kwamba tunaweza kutegemea hii familia yetu mpya kwa ajili ya upendo, msaada na kuhudumiana!
Tembelea tovuti yetu kamili kwa habari zaidi kuhusu huduma zetu, masomo ya Biblia, ratiba ya semina mbalimbali, na jinsi ya kuwa sehemu ya familia yetu ya kiroho.
Tembelea Tovuti Kamili